| Artist | Diamond Platnumz |
| Featuring | Jay Melody & Mr Blue |
| Category | South Africa |
| Genre | Afro House |
| Released | 2024 |
New Release: 2024 Hit by Diamond Platnumz
South African music star, Diamond Platnumz, has once again captivated fans with his latest 2024 release titled "Mapoz". This fresh track showcases his signature style while blending contemporary sounds that resonate with a wide audience. Known for his dynamic presence in the music industry, the artist continues to push boundaries and deliver hits that dominate charts across the continent.
The song features impressive collaborations with talented artists JAY MELODY and Mr. Blue, whose unique contributions add depth and flavor to the overall vibe. Their combined efforts create a seamless fusion of rhythms and melodies that make this track stand out among recent releases. Fans of Afrobeat and contemporary African music will find this song particularly appealing due to its catchy hooks and engaging beats.
This release further cements the artist’s reputation as one of the leading figures in African music today. With a career marked by numerous awards and international recognition, he continues to influence the genre and inspire upcoming musicians. "Mapoz" is a testament to his evolving artistry and commitment to producing quality music that connects with listeners on multiple levels.
Listen, Share and Download below.
Diamond Platnumz Mapoz Lyrics:
Hmm—hmm
Oh—no—no—no
Jay once again
Penzi zito kilo mia hamsini
Vile napata raha utaniambia nini
Kuna muda kama siamini
Na kuna muda ni ka napendwa na jini
Maana penzi lako ndege mtini
Niko matawi ya juu nisha tulia mimi
For your love let me sing—sing
Nishakolea hatari mapenzini
Tamu pipi ya kijiti (ah—han)
Ukilamba unacheka
Na kibaridi hiki
Niozesheni hata ndoa ya mkeka
Penzi halishikiki (an—han)
Linavyotetemesha
Si tufunge muziki
Nikuonyeshe jinsi Nnavyocheza
Mi na mapoz na mimi
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Na sio ndumba waala raha tuu zimenizidi
Sio mambo ya mitala, penzi mwenye nafaidi
Oh, nalishwa nalala, nakumbatwa kwa baridi
Usinione nang'ara natunzwa Alhabibi, oh—ooh)
Matikiti kudondoka, matikiti kudondokea
Marafiki huwa ni nyoka, hivyo chunga wanayo ongea
Nikandekande nikichoka, sio narudi unanifokea
Wenda mwenzio nilipotoka, mambo fyongo hayaja ninyokea
Tamu pipi ya kijiti (ah—han)
Ukilamba unacheka
Na kibaridi hiki
Niozesheni hata ndoa ya Mkeka
Penzi halishikiki (ah—han)
Linavyotetemesha jamani
Si tufunge muziki
Nikuonyeshe jinsi navyocheza
Mi na mapoz na mimi
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz namimi
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz namimi
Ngoja, huu ni usiku au mchana?
Hold up, hii ni leo au ni jana?
Mapoz nami, ah, unanikumbusha ujana
Roho unavyoirusha ntakuja kufa msichana
Nimepagawa uwanjani na sijui ngapi—ngapi
Refa ni nani mbona mpira hauji kati
Nichague kijani, yellow au papi
Au nije muda gani ili niende na wakati
Unawakanya mabishoo
Kitandani unanipa show mpaka nasahau show (ah—wee)
Unanchanganya kwenye roho, usije kun'danganya, no
Weka penzi niweke Doo (ah—wee)
Mapoz nami we na mapoz nami
Mapoz nami we na mapoz nami
Mapoz nami we na mapoz nami
Mapoz nami we na mapoz na mimi
Mapoz nami mi na mapoz nami
Mapoz nami mi na mapoz nami
Mapoz nami mi na mapoz nami
Mapoz nami mi na mapoz na mimi
Mapoz nami mi na mapoz nami
Mapoz nami mi na mapoz nami
Mapoz nami mi na mapoz nami
Mapoz nami mi na mapoz na mimi
Eyoo Zombie
What it do?
We back
Number moja, moja, moja, moja
Hii ni sauti ya Rais
Yani President
Haujui
(Wasafi)
DOWNLOAD Mapoz by Diamond Platnumz MP3
Drop Your Comment
Be the first to comment on this post





















